BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Moja kwa moja, Netanyahu akanusha kuingiza Marekani kwenye vita dhidi ya Iran
Vita vimekua na athari kubwa viongozi kadhaa wa Iran wakiendelea kupoteza maisha. Wa hivi karibuni ni Ali Mohammad Naini ameuawa katika mashambulizi ya Marekani na Israel, vyombo vya habari vya Iran vinaripoti.
Meli zipi zinaruhusiwa kupita Mlango Bahari wa Hormuz licha ya hofu ya mashambulizi?
Tangu mgogoro ulipoanza, BBC Verify imethibitisha kuwa meli 20 za kibiashara zimeshambulizwa kando ya pwani ya Iran.
Je, Marekani na Israel wana malengo sawa kuhusu vita dhidi ya Iran?
Lakini kadri siku zinavyopita, vita hivi vinaonekana kuwa vigumu zaidi kuliko Donald Trump alivyotarajia.
Fahamu nchi zinazosheherekea Eid leo
Nchi nyingi duniani zimeadhimisha Eid al-Fitr leo Ijumaa, Machi 20, 2026, baada ya kuthibitisha kuonekana kwa mwezi wa Shawwal.
Jinsi Iran inavyopendelea vita virefu kuliko kusitisha mapigano
Brigedia Jenerali Reza Talaeinik, msemaji wa Wizara ya Ulinzi, pia alisema kwamba Iran inaweza kudumisha "ulinzi wa kushambulia" mara nyingi zaidi kuliko adui anavyotarajia.
Je, vita na Iran vinamfanya Kim Jong Un awe na hofu kuhusu mustakabali wa Korea Kaskazini?
Korea Kaskazini ililaani mashambulizi haraka, ikiyaita "kitendo kisichokubalika cha uchokozi."
Tetesi za soka Ulaya Ijumaa: Real Madrid na Man United zampigania Bruno Guimaraes.
Bruno Guimaraes apiganiwa na baadhi ya timu zenye majina makubwa, Manchester United wako tayari kukataa mkopo wa msimu mwingine kwa Marcus Rashford, na nahodha wa Tottenham Cristian Romero apuuza mazungumzo ya kuhama.
Kifo cha Ali Larijani kinavyozidisha mgogoro ndani ya uongozi wa Iran
Larijani kwa muda mrefu ameonekana kama mmoja wa watunga sera wenye uzoefu mkubwa na ushawishi mkubwa zaidi katika Jamhuri ya Kiislamu.
Vita vya Iran vimeleta mgogoro wa nishati duniani, je, China inaweza kustahimili?
Iran, ambayo mafuta yake yamewekewa vikwazo na Marekani, imekuwa muuzaji mkubwa wa mafuta ghafi ya bei nafuu kwa China, na ripoti zinaashiria kwamba Beijing inununua zaidi ya 80% ya mauzo ya mafuta ya Iran nje ya nchi.
Eid El-Fitri ni lini? Mambo 10 anayopaswa kufanya Muislam siku hiyo
Ni siku ya furaha, shukrani na mshikamano kwa Waislamu duniani kote baada ya mwezi mzima wa ibada, kujinyima na kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu.
Ubingwa wa mezani kwa Morocco ni 'aibu kwa Afrika'
Shirikisho la soka la Senegal limesema uamuzi huo ni "aibu kwa Afrika", likisisitiza kuwa halikubaliani na hatua ya kubatilishwa kwa matokeo ya fainali hiyo iliyochezwa Januari 18 mjini Rabat.
Je, dunia inaingia enzi ya mataifa kushambuliana kama 'mzaha'?
Vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Iran vinaweza kuonekana kama mojawapo ya migogoro mikubwa ya kwanza duniani ambapo sheria ambazo zimetawala mahusiano ya kimataifa kwa miongo kadhaa zinaanza kupoteza ufanisi wake kwa kiasi fulani.
Sikiza / Tazama
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Uingereza yakataa kujiingiza katika vita vya Mashariki ya Kati
Starmer amesema Mlango Bahari wa Hormuz lazima ufunguliwe tena ili "kuhakikisha utulivu katika masoko".
Kiongozi mkuu mpya wa Iran aapa kuendelea kuzuia kupita kwa meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz
Ujumbe huo kutoka kwa kiongozi mpya wa Iran Mojtaba Khamenei umesomwa na mtangazaji katika runinga ya taifa ya Iran.
Aliko Dangote aongoza orodha ya watu matajiri zaidi Afrika 2026
Klabu ya mabilionea barani Afrika inazidi kutajirika huku masoko ya hisa yakipanda na sarafu zikitengemaa katika bara zima, utajiri wa viongozi wakuu wa biashara katika eneo hilo umeongezeka.
Makadirio mabaya ya Donald Trump kuhusu vita vya Iran
Aidha Trump hakutilia maanani kuwa kupanda kwa bei ya mafuta duniani, kutaiongezea Urusi mapato na kuisaidia kuimarika kiuchumi na katika vita dhidi ya Ukraine.
Wapiganaji wa Kikurdi: Kifahamu kikosi cha siri cha jeshi la wanawake pekee
Huku mashambulizi ya Marekani na Israel yakiendelea, uvumi unaongezeka kwamba makundi ya Wakurdi wa Iran walio na silaha walioko nchini Iraq hivi karibuni huenda wakavuka mpaka na kuingia vitani dhidi ya jamhuri ya Kiislamu. BBC imetembelea kundi moja la wapiganaji wa Kikurdi - kikosi cha wanawake wote.
Silaha zenye nguvu ambazo Marekani inatumia kushambulia Iran
Marekani imeishambulia Iran kwa kutumia droni za aina ya MQ 9 Reaper, ambazo zina uwezo wa kufanya uchunguzi pamoja na mashambulizi.
Mzozo wa DRC: Kuuawa kwa Willy Ngoma kunaashiria nini?
Msemaji huyo aliuawa kupitia shambulio la angani lililotekelezwa na FARDC eneo la Rubaya Jumanne usiku, shambulio ambalo liliwaacha viongozi kadhaa wa M23 na majeruhi.
"Moto ulitokea angani na kuwachoma" - Waathiriwa wa vita vinavyoendelea Sudan Kusini
Kote Sudan Kusini, watu milioni 10 kati ya milioni 14 wanahitaji msaada wa chakula.
Fahamu mfumo wa utawala wa Iran
Kiongozi wa kidini ndiye kamanda mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Iran na anadhibiti vyombo vyote vya usalama.
Sudan: Pande zinazozozana zina sababu ya kuendelea kupigana
Historia inaonyesha kwamba vita vyote vya Sudan vimekuwa vya muda mrefu na kudumu hadi miaka 20.
Marekani ilitumia torpedo ya aina gani kuzamisha meli ya Iran?
Shambulio la torpedo lililoipiga meli ya kivita ya Iran katika Bahari ya Hindi ilirushwa kutoka kwa manowari USS Charlotte.
Vita vya Israel, Marekani na Iran: Kwa nini Urusi haisaidii Iran?
Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vimeiweka Urusi katika hali isiyoeleweka akini Vladimir Putin alikosoa mauaji ya Kiongozi Mkuu Ali Khamenei.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Dira Ya Dunia, 18:29, 20 Machi 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 20 Machi 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 20 Machi 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 19 Machi 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani






























































