BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Moja kwa moja, Rais Traoré 'afuta' vyama vyote vya siasa Burkina Faso
Utawala wa kijeshi wa Burkinafaso unasema uamuzi huo ni sehemu ya juhudi pana za “kuijenga upya dola”, ukidai kwamba mfumo wa vyama vingi ulikuwa unatumika vibaya na kushindwa kufanya kazi ipasavyo.
Je, Kombe la Dunia linaweza kususiwa na mashabiki wa Ulaya?
Rais wa zamani wa FIFA Joseph Blatter ameelezea kuunga mkono pendekezo la mashabiki kususia mechi za Kombe la Dunia mwaka huu, akielezea wasiwasi kuhusu mwenendo wa Rais wa Marekani Donald Trump na utawala wake.
Mambo 7 yanayoweza kutokea iwapo Marekani itaishambulia Iran
Marekani inaonekana iko tayari kuishambulia Iran ndani ya siku chache. Ingawa malengo yanayowezekana yanaweza kutabirika kwa kiasi kikubwa, matokeo hayatabiriki.
Tetesi za soka Ulaya: Vilabu 7 vinamtaka Raheem Sterling
Wawakilishi wa Raheem Sterling wako kwenye mazungumzo na vilabu saba, Tottenham na Burnley nazo zina nia ya kumsajili winga huyo wa England, huku Cole Palmer akiwa na bei kubwa inayoweza kuwashinda Manchester United.
Upinzani wasema jeshi linaendeleza 'mapigano ya kikatili' Sudan Kusini
Serikali ya Sudan Kusini imesema dhamira yake ni kuchukua tena maeneo yote yaliyo chini ya upinzani.
Je, Marekani inajiandaa kuishambulia tena Iran?
Marekani, yenye jeshi lenye nguvu zaidi duniani, tayari imeshawahi kuonyesha uwezo wake wa kuishambulia Iran. Mnamo Juni mwaka jana, ilitekeleza operesheni iliyopewa jina Operation Midnight Hammer, iliyolenga vituo vya nyuklia vya Iran.
Kwa nini wanawake wana uwezekano mkubwa wa kufa katika ajali za magari?
Kwa kweli, kwa miongo kadhaa watengenezaji wa magari wametegemea magari bandia kwa majaribio kupima vipimo vya miili ya wanaume, ambayo inamaanisha kuwa matokeo ya mtihani wa ajali hayaonyeshi kiwango cha hatari ambayo wanawake wanakabili katika ajali za trafiki.
Kiongozi wa waasi wa Congo asema mkataba wa madini muhimu na Marekani ni batili kisheria
Nangaa akiwa katika mkutano wa waandishi wa habari wa M23 mjini Goma
Kashiwazaki-Kariwa: Kinu cha nyuklia kikubwa duniani kilichoanzishwa tena na Japan
Uamuzi wa kuanzisha upya kinu nambari 6 huko Kashiwazaki-Kariwa, kaskazini magharibi mwa Tokyo, umefanywa licha ya wasiwasi wa usalama kutoka kwa wakazi wa eneo hilo.
Sarafu 10 dhaifu zaidi duniani 2026
Dola ya Marekani ndiyo sarafu inayouzwa zaidi duniani hata kama, sio sarafu yenye nguvu zaidi duniani (haki hizo za thamani ya juu kwa sasa zinakwenda kwa sarafu ya Dinari ya Kuwait).
Kwa nini timu za England zinatawala Ulaya?
Ligi Kuu ya England, inaendelea kuonyesha nguvu yake barani Ulaya baada ya timu tano za England kumaliza ndani ya nafasi nane bora katika hatua ya ligi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na hivyo kufuzu moja kwa moja kwa hatua ya mtoano.
Je, unaweza kulala ndani ya dakika mbili?
Watu wengine huwa na wakati mgumu kulala, wakati wengine hawawezi kulala kabisa. Mamilioni ya watu kote ulimwenguni wanakabiliwa na tatizo hili.
Sikiza / Tazama
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Kwanini serikali ya DRC inaikataa ripoti ya Human Rights Watch (HRW)?
DRC imekanusha madai yaliyochapishwa katika ripoti ya Human Rights Watch kuhusu usalama wa eneo la Uvira kwa kusema kuwa madai yao hayakuwa ya kweli, na yamechukuliwa nje ya muktadha wa kisheria na kiusalama.
Jenerali wa kijeshi wa China ambaye serikali ina wasiwasi naye
Wizara ya Ulinzi ya China imesema imeanzisha uchunguzi dhidi ya Jenerali wa ngazi ya juu zaidi wa kijeshi nchini humo, ikimtuhumu kwa "ukiukaji mkubwa wa nidhamu na sheria."
Kifahamu kisiwa kidogo cha Ujerumani chenye watu 16
Halligen, ni mkusanyiko wa visiwa vilivyo karibu na pwani ya kaskazini mwa Ujerumani, visiwa hivi ni muhimu kwa Ujerumani kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa.
'Nusu ya marafiki zangu waliuawa' - wasichana wanaorejea katika shule iliyojikuta katikati ya vita
Pacha ambao wanafunzi wenzao waliiuawa katika shabulio la makombora wanasema vifo vyao vimewafanya waazimie kumaliza masomo yao.
Mpasuko wa 'chungwa' ndio kifo cha chama cha Raila Odinga - ODM?
''Chungwa'' ni nembo ya chama cha Orange Democratic Movement nchini Kenya ambalo limekuwepo kwa miongo miwili sasa, na ambalo kwa sasa baadhi ya wafuasi wake na hata wachambuzi wa kisiasa wanasema kwamba huenda likapasuka vibaya.
Je, ni kweli Marekani 'inaifadhili' Nato kwa asilimia 100?
Rais wa Marekani alitoa msururu wa madai yaliyopingwa, kuanzia hali ya Greenland hadi matumizi ya Nato.
Maeneo ambayo Marekani ilinunua katika historia yake ili kuunda nchi inayoonekana leo
Donald Trump anataka Greenland iwe sehemu ya Marekani na hata amewahi kupendekeza uwezekano wa kuinunua kutoka kwa Ufalme wa Denmark, ambao kisiwa hicho ni mali yake.
Aliwahi kuwakosoa viongozi wa Afrika wanaong'ang'ania madaraka. Sasa ataongoza muhula wa saba
Raia wa Uganda walio na umri wa chini ya miaka 40 - na ambao ni zaidi ya robo tatu ya watu - wamemfahamu rais mmoja tu.
Jinsi roketi ya utafiti wa hali ya hewa ya Norway ilivyokaribia kusababisha vita vya nyuklia
Kwa mara ya kwanza katika historia, kiongozi wa taifa alilazimika kuamsha kile kilichojulikana kama kifaa cha nyuklia, mfumo maalumu wenye maagizo na teknolojia ya kuidhinisha shambulio la nyuklia.
'Ananyanyaswa na kufuatiliwa kila hatua': Nyota wa muziki anayemkabili rais wa muda mrefu wa Uganda
Kwa mvuto wake wa kipekee, uthubutu na uwezo wa kujiweka karibu na wananchi wa kawaida, nyota wa muziki Bobi Wine ametingisha siasa za Uganda.
Jinsi majasusi na makomando wa Marekani walivyomnasa Maduro
Operesheni hiyo ya aina yake iliyopewa jina la "Operation Absolute Resolve" inaonyesha jinsi vikosi vya Marekani vilivyoingia kwenye makazi ya Rais wa Venezuela na kumteka.
Ni nchi zipi zinaweza kulengwa na Trump baada ya Venezuela?
Trump ametoa vitisho vingi dhidi ya mataifa mengine katika siku za hivi karibuni.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Dira Ya Dunia, 18:29, 30 Januari 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 30 Januari 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 30 Januari 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 29 Januari 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani
























































